Zum Inhalt springen
Yohana 7:45-46

Yohana 7:45-46

45
Hatimaye wale walinzi wa Hekalu wakarudi kwa viongozi wa makuhani na Mafarisayo waliokuwa wamewatuma ili kumkamata Yesu, wakaulizwa, “Mbona hamkumkamata?”
46
Wale walinzi wakajibu, “Kamwe hajanena mtu yeyote kama yeye anenavyo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options