Skip to content
Yohana 7:28-29

Yohana 7:28-29

28
Ndipo Yesu, akaendelea kufundisha Hekaluni, akisema, “Ninyi mnanifahamu na kujua nitokako. Mimi sikuja kwa ajili yangu mwenyewe, bali yeye aliyenituma ni wa kweli na ninyi hammjui.
29
Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options