Skip to content
Yohana 6:49-50

Yohana 6:49-50

49
Baba zenu walikula mana jangwani, lakini wakafa.
50
Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni, ambao mtu yeyote akiula, hatakufa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options