Skip to content
Yohana 6:32-35

Yohana 6:32-35

32
Yesu akawaambia, “Amin, amin nawaambia, si Mose aliyewapa mikate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye anawapa mkate wa kweli kutoka mbinguni.
33
Kwa maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima.”
34
Wakamwambia, “Bwana, kuanzia sasa tupatie huo mkate siku zote.”
35
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi mkate wa uzima. Yeye ajaye kwangu, hataona njaa kamwe na yeye aniaminiye, hataona kiu kamwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options