Yohana 5:33-35
33
“Mlituma wajumbe kwa Yohana, naye akashuhudia juu ya kweli.
34
Si kwamba naukubali ushuhuda wa mwanadamu, la, bali ninalitaja hili kusudi ninyi mpate kuokolewa.
35
Yohana alikuwa taa iliyowaka na kutoa nuru, nanyi kwa muda mlichagua kuifurahia nuru yake.