Skip to content
Yohana 5:28-29

Yohana 5:28-29

28
“Msishangae kusikia haya, kwa maana saa inakuja ambapo wale walio makaburini wataisikia sauti yake.
29
Nao watatoka nje, wale waliotenda mema watafufuka wapate uzima na wale waliotenda maovu, watafufuka wahukumiwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options