Aller au contenu
Yohana 5:28-29

Yohana 5:28-29

28
“Msishangae kusikia haya, kwa maana saa inakuja ambapo wale walio makaburini wataisikia sauti yake.
29
Nao watatoka nje, wale waliotenda mema watafufuka wapate uzima na wale waliotenda maovu, watafufuka wahukumiwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options