Skip to content
Yohana 4:13-14

Yohana 4:13-14

13
Yesu akamjibu, “Kila mtu anayekunywa maji ya kisima hiki ataona kiu tena.
14
Lakini yeyote anywaye maji nitakayompa hataona kiu kamwe. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujika uzima wa milele.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options