Yohana 3:6-8
6
Mwili huzaa mwili, lakini Roho huzaa roho.
7
Kwa hiyo usishangae ninapokuambia huna budi ‘kuzaliwa mara ya pili.’
8
Upepo huvuma popote upendapo. Mvumo wake unausikia lakini huwezi ukafahamu utokako wala uendako. Ndivyo ilivyo kwa kila mtu aliyezaliwa na Roho.”