Skip to content
Yohana 21:4-5

Yohana 21:4-5

4
Mara baada ya kupambazuka, Yesu akasimama ufuoni, lakini wanafunzi hawakumtambua kwamba alikuwa Yesu.
5
Yesu akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options