Skip to content
Yohana 19:32-33

Yohana 19:32-33

32
Kwa hiyo askari wakaenda wakavunja miguu ya mtu wa kwanza aliyesulubiwa pamoja na Yesu na yule mwingine pia.
33
Lakini walipomkaribia Yesu, wakaona ya kuwa amekwisha kufa, hivyo hawakuvunja miguu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options