Skip to content
Yohana 16:7-8

Yohana 16:7-8

7
Lakini nawaambia kweli, yafaa mimi niondoke, kwa kuwa nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu, lakini nikienda nitamtuma kwenu.
8
Naye atakapokuja, atauthibitishia ulimwengu kuhusu dhambi, haki na hukumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options