Skip to content
Yohana 16:31-32

Yohana 16:31-32

31
Yesu akawajibu, “Je, sasa mnaamini?
32
Saa inakuja, naam, imekwisha kuwadia, mtakapotawanyika kila mmoja kwenda nyumbani kwake na kuniacha peke yangu. Lakini mimi siko peke yangu kwa sababu Baba yu pamoja nami.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options