Skip to content
Yohana 14:6-7

Yohana 14:6-7

6
Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
7
Kama mngenijua mimi, mngemjua na Baba pia. Tangu sasa, mnamjua Baba yangu, tena mmemwona.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options