Skip to content
Yohana 13:4-5

Yohana 13:4-5

4
hivyo aliondoka chakulani, akavua vazi lake la nje, akajifunga kitambaa kiunoni.
5
Kisha akamimina maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa kile kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options