Skip to content
Yohana 13:4-5

Yohana 13:4-5

4
hivyo aliondoka chakulani, akavua vazi lake la nje, akajifunga kitambaa kiunoni.
5
Kisha akamimina maji kwenye sinia na kuanza kuwanawisha wanafunzi wake miguu na kuikausha kwa kile kitambaa alichokuwa amejifunga kiunoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options