Skip to content
Yohana 12:9-11

Yohana 12:9-11

9
Umati mkubwa wa Wayahudi walipojua kwamba Yesu alikuwa huko Bethania, walikuja si tu kwa ajili ya Yesu, lakini pia kumwona Lazaro ambaye Yesu alikuwa amemfufua.
10
Kwa hiyo viongozi wa makuhani wakafanya mpango wa kumuua Lazaro pia,
11
kwa kuwa kutokana na habari za kufufuliwa kwake Wayahudi wengi walikuwa wanamwendea Yesu na kumwamini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options