Yohana 11:53-54
53
Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.
54
Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.