Skip to content
Yohana 11:53-54

Yohana 11:53-54

53
Hivyo tangu siku hiyo wakawa wanafanya mipango ili wamuue Yesu.
54
Kwa hiyo Yesu akawa hatembei hadharani miongoni mwa Wayahudi, bali alijitenga akaenda sehemu iliyo karibu na jangwa kwenye kijiji kiitwacho Efraimu. Akakaa huko na wanafunzi wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options