Skip to content
Yohana 11:12-13

Yohana 11:12-13

12
Wanafunzi wakamwambia, “Bwana, kama amelala usingizi ataamka.”
13
Hata hivyo, Yesu alikuwa anazungumzia kuwa Lazaro amekufa, lakini wanafunzi wake hawakuelewa, walidhani kwamba anasema Lazaro amelala usingizi tu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options