Skip to content
Yohana 10:4-5

Yohana 10:4-5

4
Akiisha kuwatoa wote nje, hutangulia mbele yao na kondoo humfuata kwa kuwa wanaijua sauti yake.
5
Lakini kondoo hawatamfuata mgeni bali watamkimbia, kwa sababu hawaijui sauti ya mgeni.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options