Skip to content
Yohana 1:47-48

Yohana 1:47-48

47
Yesu alipomwona Nathanaeli anakaribia, akanena habari zake akasema, “Tazama huyu ni Mwisraeli kweli kweli; hana hila ndani yake.”
48
Nathanaeli akamuuliza, “Umenifahamuje?” Yesu akamjibu, “Nilikuona ulipokuwa bado uko chini ya mtini, kabla hata Filipo hajakuita.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options