Skip to content
Yohana 1:36-37

Yohana 1:36-37

36
Alipomwona Yesu akipita, akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu!”
37
Wale wanafunzi wawili walipomsikia Yohana akisema haya, wakamfuata Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options