Skip to content
Yoeli 2:4-5

Yoeli 2:4-5

4
Wanaonekana kama farasi; wanakwenda mbio kama askari wapanda farasi.
5
Wanatoa sauti kama magari ya vita, wanaporukaruka juu ya vilele vya milima, kama mlio wa miali ya moto ilayo mabua, kama jeshi kubwa lililojipanga kwa ajili ya vita.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options