Skip to content
Yoeli 1:19-20

Yoeli 1:19-20

19
Kwako, Ee Bwana, naita, kwa kuwa moto umeteketeza malisho ya mbugani na miali ya moto imeunguza miti yote shambani.
20
Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku; vijito vya maji vimekauka, na moto umeteketeza malisho yote ya mbugani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options