Skip to content
Ayubu 42:2-3

Ayubu 42:2-3

2
“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote, wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.
3
Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’ Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi, mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options