Skip to content
Ayubu 42:1-3

Ayubu 42:1-3

1
Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
2
“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote, wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.
3
Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’ Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi, mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options