Skip to content
Ayubu 4:8-9

Ayubu 4:8-9

8
Kwa jinsi ambavyo mimi nimechunguza, wale walimao ubaya na wale hupanda uovu, huvuna hayo hayo hayo.
9
Kwa pumzi ya Mungu huangamizwa; kwa mshindo wa hasira zake huangamia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options