Skip to content
Ayubu 39:9-11

Ayubu 39:9-11

9
“Je, nyati atakubali kukutumikia? Atakaa karibu na hori lako usiku?
10
Je, waweza kumfungia kwenye matuta kwa kamba? Je, atalima mabonde nyuma yako?
11
Je, utamtumainia kwa ajili ya nguvu zake nyingi? Utamwachia yeye kazi zako nzito?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options