Skip to content
Ayubu 36:11-12

Ayubu 36:11-12

11
Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
12
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options