Skip to content
Ayubu 3:1-3

Ayubu 3:1-3

1
Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.
2
Kisha akasema:
3
“Siku ya kuzaliwa kwangu na ipotelee mbali, nao usiku ule iliposemekana, ‘Mtoto wa kiume amezaliwa!’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options