Skip to content
Ayubu 2:7-8

Ayubu 2:7-8

7
Basi Shetani akatoka mbele za Bwana naye akampiga Ayubu kwa majipu mabaya tangu nyayo za miguu yake hadi utosi wa kichwa.
8
Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options