Skip to content
Ayubu 1:9-10

Ayubu 1:9-10

9
Shetani akamjibu Bwana, “Je, Ayubu anamcha Mungu bure?
10
Je, wewe hukumjengea boma pande zote yeye na wa nyumbani mwake pamoja na kila kitu alicho nacho? Kazi za mikono yake umezibariki na hivyo makundi yake ya kondoo na mbuzi pamoja na ya wanyama yameenea katika nchi nzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options