Skip to content
Ayubu 1:20-21

Ayubu 1:20-21

20
Ndipo Ayubu akasimama, akararua joho lake na kunyoa nywele zake. Kisha akaanguka chini katika kuabudu
21
na kusema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu uchi, nami nitaondoka uchi, Bwana alinipa, naye Bwana ameviondoa, jina la Bwana litukuzwe.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options