Skip to content
Ayubu 1:2-3

Ayubu 1:2-3

2
Alikuwa na wana saba na binti watatu,
3
naye alikuwa na kondoo elfu saba, ngamia elfu tatu, jozi mia tano za maksai, na punda mia tano, tena alikuwa na idadi kubwa ya watumishi. Alikuwa mtu mkuu sana miongoni mwa watu wa Mashariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options