Skip to content
Yeremia 52:1-3

Yeremia 52:1-3

1
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
2
Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
3
Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options