Skip to content
Yeremia 51:17-18

Yeremia 51:17-18

17
“Kila mtu ni mjinga na hana maarifa; kila sonara ameaibishwa na sanamu zake. Vinyago vyake ni vya udanganyifu, havina pumzi ndani yavyo.
18
Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha, hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options