Skip to content
Yeremia 5:27-28

Yeremia 5:27-28

27
Kama vitundu vilivyojaa ndege, nyumba zao zimejaa udanganyifu; wamekuwa matajiri na wenye nguvu,
28
wamenenepa na kunawiri. Matendo yao maovu hayana kikomo; hawatetei mashauri ya yatima wapate kushinda, hawatetei haki za maskini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options