Yeremia 5:24-25
24
Wao hawaambiani wenyewe, ‘Sisi na tumwogope Bwana Mungu wetu, anayetupatia mvua za masika na za vuli kwa majira yake, anayetuhakikishia majuma ya mavuno kwa utaratibu.’
25
Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote, dhambi zenu zimewazuia msipate mema.