Skip to content
Yeremia 45:1-2

Neno la Mungu kwa Baruku Mwandishi

Yeremia 45:1-2
1
Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
2
“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options