Skip to content
Yeremia 39:6-7

Yeremia 39:6-7

6
Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na pia akawaua wakuu wote wa Yuda.
7
Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options