Skip to content
Yeremia 37:1-2

Yeremia 37:1-2

1
Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini mwana wa Yehoyakimu.
2
Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya Bwana aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options