Skip to content
Yeremia 29:8-9

Yeremia 29:8-9

8
Naam, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Msikubali manabii na wabashiri walioko miongoni mwenu wawadanganye. Msisikilize ndoto ambazo mmewatia moyo kuota.
9
Wanawatabiria ninyi uongo kwa jina langu. Sikuwatuma,” asema Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options