Yeremia 29:5-6
5
“Jengeni nyumba na mstarehe, pandeni bustani na mle mazao yake.
6
Oeni wake na mzae wana na binti, waozeni wana wenu wake, nanyi watoeni binti zenu waolewe, ili nao pia wazae wana na binti. Ongezekeni idadi yenu huko, wala msipungue.