Skip to content
Yeremia 29:12-14

Yeremia 29:12-14

12
Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.
13
Mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
14
Nitaonekana kwenu,” asema Bwana, “nami nitawarudisha watu wenu waliotekwa. Nitawakusanya kutoka mataifa yote na mahali pote nilipokuwa nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali ambapo nilikuwa nimewatoa walipochukuliwa uhamishoni,” asema Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options