Skip to content
Yeremia 23:25-26

Yeremia 23:25-26

25
“Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’
26
Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options