Skip to content
Yeremia 20:2-3

Yeremia 20:2-3

2
akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la Bwana.
3
Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “Bwana hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options