Skip to content
Yeremia 18:5-6

Yeremia 18:5-6

5
Kisha neno la Bwana likanijia kusema:
6
“Ee nyumba ya Israeli, je, siwezi kuwafanyia kama huyu mfinyanzi afanyavyo?” asema Bwana. “Kama vile udongo ulivyo katika mikono ya mfinyanzi, ndivyo mlivyo katika mkono wangu, ee nyumba ya Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options