Skip to content
Yeremia 18:18-19

Yeremia 18:18-19

18
Wakasema, “Njooni, tutunge hila dhidi ya Yeremia; kwa kuwa kufundisha sheria kwa kuhani hakutapotea, wala shauri litokalo kwa mwenye hekima, wala neno la manabii. Hivyo njooni, tumshambulie kwa ndimi zetu na tusijali chochote asemacho.”
19
Nisikilize, Ee Bwana, sikia wanayosema washtaki wangu!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options