मुख्य मजकुरावर जा
Yeremia 15:10-11

Yeremia 15:10-11

10
Ole wangu, mama yangu, kwamba ulinizaa, mtu ambaye ulimwengu wote unashindana na kugombana naye! Sikukopa wala sikukopesha, lakini kila mmoja ananilaani.
11
Bwana akasema, “Hakika nitakuokoa kwa kusudi jema, hakika nitawafanya adui zako wakuombe msaada nyakati za maafa na nyakati za dhiki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options