Skip to content
Yeremia 13:6-7

Yeremia 13:6-7

6
Baada ya siku nyingi Bwana akaniambia, “Nenda sasa Frati ukauchukue ule mkanda niliokuambia uufiche huko.”
7
Hivyo nikaenda Frati na kuuchimbua ule mkanda kutoka pale nilipokuwa nimeuficha, lakini sasa ulikuwa umeharibika na haufai tena kabisa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options