Skip to content
Yeremia 13:15-16

Yeremia 13:15-16

15
Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa Bwana amenena.
16
Mpeni utukufu Bwana Mungu wenu, kabla hajaleta giza, kabla miguu yenu haijajikwaa juu ya vilima vitakavyotiwa giza. Mlitarajia nuru, lakini ataifanya kuwa giza nene na kuibadili kuwa huzuni kubwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options