Skip to content
Yeremia 13:1-2

Yeremia 13:1-2

1
Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.”
2
Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama Bwana alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options